Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Abeeyna2
Abeeyna2
Jirani tangu lini umeanza maombeziNjoo upande wa mkesha, sisi tunakesha tukiwaombea, huoni mpaka corana imekimbia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kila nikikumba ya mshubate basi napata ukakasi sana wakuamini mambo mengi hapaVip kwan ume nifahamu?![]()


Mambo vipi mkuuAbee
😋😋Nikatie
Poa za kwakoMambo vipi mkuu
Ahsante sanaZa kwangu njema tu mkuu
Karibu
Nikukatie upande gani?Nikatie
Wa chiniNikukatie upande gani?
Hahah..! Umeona ulichemka eeh?Dah.....haipo tena
Upande wa nchi ndo nimemaliza kuula..Wa chini
Aiyaaaa...Basi tena nilitaka wa chini.Upande wa nchi ndo nimemaliza kuula..
Umebakia upande wa kati kati
DuhThe christ church njoo na ID yako ya zamani please.

E sijaziona sasatkuone kwanz...mana wengne tshaonkana sura zeru..dah![]()