Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani Depal hiyo imechanwa kistaarabu mno.
Taasisi yoyote ya watu binafsi unaingia nayo na unahudumiwa kwa heshima zote.
Bana bana kuna michano mengine ni balaaa.
Halafu imechanwa chanwa, kichwani kuna bleach
na nywele zenyewe hazijachanwa pia zimevurugwa
.
 
Haha amu kama amu, mwenye michano yake... Sindikizia basi na kapicha...

Kuna siku nilivuruga nywele sema ilikuwa na dawa nikaenda nayo ofisini...staff mmoja mileage za kutosha akanambia we mbona leo hujachana nywele 😂😂😂 nikamwambia mama hii style tu
 
Ili mvurugo unoge usiweke dawa mama.
Mimi bana nilishasahau.
Ninavuruga tu kwenda mbele.
Mie pia ninaweka michano ya kistaarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…