Selfika na JF: Snap it. Show it

Aiseee
Mimi utadhani nina kiwanda Cha vitenge..na hivi siku hizi natengeneza batiki.
Yaani naeza vaa vitenge mwezi mzima bila kurudia.

Hivi wanauzaga sh ngapi tule tujeans nipate pa kuanzia[emoji4]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inategemea na sehemu unayonunua mama! Ziko kuanzia za elfu 6 hadi za elfu 40 wewe tu!
 
Mimi Sina shida na muonekano
Nataka tu kumuona wifi
Mwaka mzima kweli hutaki nimuone mume mtarajiwa???
Unaninyima Haki yangu[emoji85][emoji85]

Nakuja kuchukua picha hivyoo[emoji2092][emoji2092][emoji2092]
 
Ohooo...ni kweli aise..
😅😅😅nguo yoyote itakayochanwa bila sababu ni big no aiseh.

Ila kuna high waist ni nzuri nazipenda..
😅😅kuna ile unakuta mdada kupiga high waist mpka kwenye maziwa huko😅😅😅😅na mkanda juu🙆‍😆😆hapana aiseh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…