Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaha, nisamehe Mkuu ,alimaanisha nn kwani

Sent using Jamii Forums mobile app

hata mimi sijui alichomaanisha ila tu umenichekesha ulivyomaanisha vingine, inaonekana siku hizi kila kitu kina maana nzuri na mbaya maana sikutegemea kama hadi chachandu nayo inaweza kuwa na maana nyingine zaidi ya hii tunayoijua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…