[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nashinda kotekote.
Nikitaka kucheka huwa nakuja Huku na siasani.
Buana wee zile nyuzi za Umoni ilikuwa patashika nguo kuchanika[emoji1787][emoji1787]
Kama movie za kikorea...huelewi mwwendelezo utakuwaje[emoji23][emoji23]
Walitifuana watu.
Wewe ulikuja wakati tayari kuna nyuzi zimefutwa.
Ni Chakor wa Udaan..ila nimeiandika kichaga[emoji28][emoji28][emoji28]
Naomba uniiite kwenye huo uzi dear nikausome
Mwanzoni vitu huwa vinaanza vizuri mno . Ila wakaja watu kulalamika huu Uzi ni show off kwamba Kila mtu anapost Cha kwake .
Yaani Mimi huwa najuaga tu makombora yanakuja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilisoma zile ulizokuwa unafunguka hadi miaka Yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikasoma na za Lizarazu...
Nikaenda kumsoma na Kapeace...nikasoma na ule mtifuano ulitokeaga humu[emoji2092]
Bahati mbaya sijui kuweka link[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]No hapo nilikuwa naongelea huu uzi. Huo anaousemea Saint Anne hata mimi sijaumanya bado eti Saint Anne katutag wenzio kwenye huo uzi au tuletee link hapa.
Mimi nilipanda hadi juu kabisa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuh wewe ulienda mbali. Mimi mara nyingi huwa nasoma zile tulizokuwa tunachat na kina Jael na Sakayo na cute b na Watu8.
Bado jina moja umesahau[emoji4]Rory
Aurora
Duh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we unadhani mie umomi nimeanza kumsoma leo, vituko vyake na malalamiko yake nilianza kusoma kitambo na ndiyo maana ikawa rahisi kugundua kuwa yule mtu hana stress kiasi kile kama watu wengi walivyokuwa wanadhani.
Bahati mbaya sijui kuweka link[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikiwatag notifications zinawafikia.?
Hahaha weylyn auBado jina moja umesahau[emoji4]
Rory
Aurora
Mimi nilipanda hadi juu kabisa..
Huyu watu8 amepotea hapa,cute b
Naumiss uzi huu wa zamani.
Bado jina moja umesahau[emoji4]
Hahaha weylyn au
Akii nmebadilisha majina humu kama pipi .
Zitafika mtakatifu.tag tu😅😅Bahati mbaya sijui kuweka link[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikiwatag notifications zinawafikia.?
Yako siioni rafiki
Hahahaha, aseeYeah kama sikosei ulianza na Adorabella ukaja Aurora ukaja Rory ukaja Weylyn ukaja Oluwa ukaja Tansy. Umetumia usernames sita na interval yako ya kubadili ni miezi michache michache tu ila mimi usernames tano tu nimezinguliwa kama nini.