Niko slow kwenye kuandika halafu nina kigugumizi cha kuandika sijui unakipata? Yaani ile mtu unaandika herufi mojamoja unakuwa unairudiarudia hadi unakuwa kama unaichora halafu kuna baadhi ya herufi zangu hazieleweki zilivyokaa na mbaya zaidi nina limwandiko likuuuuubwa hilo duuh!
Niko slow kwenye kuandika halafu nina kigugumizi cha kuandika sijui unakipata? Yaani ile mtu unaandika herufi mojamoja unakuwa unairudiarudia hadi unakuwa kama unaichora halafu kuna baadhi ya herufi zangu hazieleweki namna zilivyokaa na mbaya zaidi nina limwandiko likuuuuubwa hilo duuh!
Back in the day, there used to be this radio programme on Clouds FM on Fridays called 'The Weekenda'. Hosted by ML Chris and Antonio from Cuba. It was the truth. They introduced me this jam, and I've been jammin' to it ever since. Happy Sunday y'all.
Back in the day, there used to be this radio programme on Clouds FM on Fridays called 'The Weekenda'. Hosted by ML Chris and Antonio from Cuba. It was the truth. They introduced me this jam, and I've been jammin' to it ever since. Happy Sunday y'all.
Mimi hii hali imeanza kunisumbua muda sana nikachukilia kawaida tu ila tangu juzi sipati notification ndipo nilipo gundua kuwa app imeanza utopolo wake.