ERoni JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 52,591 Reaction score 119,698 Aug 9, 2020 #66,981 Saint Anne said: Wengine tunajaza daftari kwa siku Ni muda tu, nadhani kuna muda utafika na mimi nitasahau maswala ya kuandika Japo napenda Sana kuandika..haiwezi pita siku sijaandika chochote. Click to expand... Huenda kwa vile una mwandiko mzuri!!!
Saint Anne said: Wengine tunajaza daftari kwa siku Ni muda tu, nadhani kuna muda utafika na mimi nitasahau maswala ya kuandika Japo napenda Sana kuandika..haiwezi pita siku sijaandika chochote. Click to expand... Huenda kwa vile una mwandiko mzuri!!!
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Aug 9, 2020 #66,982 Saint Anne said: Ni imani yangu umenitunzia zote zilizonipita Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 9, 2020 #66,983 Zoë said: una muandiko mzuri Click to expand... Mwandiko wangu si mzuri ila najua tu kuupangilia hasahasa kwenye karatasi plain isiyo na mistari yaani huwa sipindishi.
Zoë said: una muandiko mzuri Click to expand... Mwandiko wangu si mzuri ila najua tu kuupangilia hasahasa kwenye karatasi plain isiyo na mistari yaani huwa sipindishi.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 9, 2020 #66,984 Eli79 said: Huenda kwa vile una mwandiko mzuri!!! Click to expand... Hivi na mimi nimo kwenye Watu wenye miandiko mizuri? Kuna Watu wanajua kuandika jamani
Eli79 said: Huenda kwa vile una mwandiko mzuri!!! Click to expand... Hivi na mimi nimo kwenye Watu wenye miandiko mizuri? Kuna Watu wanajua kuandika jamani
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 9, 2020 #66,985 Zoë said: Click to expand... Nilikuwa kuchangamsha mdomo MMU huko. Baadaye nizikute picha kule Halafu nitajibu vile viporo vya maswali yako,
Zoë said: Click to expand... Nilikuwa kuchangamsha mdomo MMU huko. Baadaye nizikute picha kule Halafu nitajibu vile viporo vya maswali yako,
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Aug 9, 2020 #66,986 Eli79 said: Mwambie mamako namsubiri, aweke nyingine nisafishe macho!!! Click to expand... Jael njoo uweke picha. Huwezi kumfanyia hivyo baba. Hivi salamu zangu uliziona? Kutoka kwa Aunt Sakayo?
Eli79 said: Mwambie mamako namsubiri, aweke nyingine nisafishe macho!!! Click to expand... Jael njoo uweke picha. Huwezi kumfanyia hivyo baba. Hivi salamu zangu uliziona? Kutoka kwa Aunt Sakayo?
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Aug 9, 2020 #66,987 Saint Anne said: Wengine tunajaza daftari kwa siku Ni muda tu, nadhani kuna muda utafika na mimi nitasahau maswala ya kuandika Japo napenda Sana kuandika..haiwezi pita siku sijaandika chochote. Click to expand... Duuh hongera sana aise natamani ningekuwa na spirit kama yako. Mie mvivu sana kuandika.
Saint Anne said: Wengine tunajaza daftari kwa siku Ni muda tu, nadhani kuna muda utafika na mimi nitasahau maswala ya kuandika Japo napenda Sana kuandika..haiwezi pita siku sijaandika chochote. Click to expand... Duuh hongera sana aise natamani ningekuwa na spirit kama yako. Mie mvivu sana kuandika.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 9, 2020 #66,988 formula2 said: TangawiziView attachment 1532299 Click to expand... Giza hatuoni mkuu. Ongeza mwanga uweke nyingine
formula2 said: TangawiziView attachment 1532299 Click to expand... Giza hatuoni mkuu. Ongeza mwanga uweke nyingine
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 9, 2020 #66,989 Zoë said: Duuh hongera sana aise natamani ningekuwa na spirit kama yako. Mie mvivu sana kuandika. Click to expand... Maisha yananifanya niandike Lakini hata home huwa naandika andika.
Zoë said: Duuh hongera sana aise natamani ningekuwa na spirit kama yako. Mie mvivu sana kuandika. Click to expand... Maisha yananifanya niandike Lakini hata home huwa naandika andika.
The Wolf JF-Expert Member Joined Sep 10, 2013 Posts 9,445 Reaction score 20,822 Aug 9, 2020 #66,990 ...
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,572 Aug 9, 2020 #66,991 Eli79 said: Hi babe Click to expand... Umeshindaje?
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Aug 9, 2020 #66,992 Saint Anne said: Mwandiko wangu si mzuri ila najua tu kuupangilia hasahasa kwenye karatasi plain isiyo na mistari yaani huwa sipindishi. Click to expand... Aise mimi ukitaka kuniaibisha nipe karatasi plain niandike yaani mistari inapinda. Na nilivyo na muandiko mbaya kama bata kapita ndiyo kabisa.
Saint Anne said: Mwandiko wangu si mzuri ila najua tu kuupangilia hasahasa kwenye karatasi plain isiyo na mistari yaani huwa sipindishi. Click to expand... Aise mimi ukitaka kuniaibisha nipe karatasi plain niandike yaani mistari inapinda. Na nilivyo na muandiko mbaya kama bata kapita ndiyo kabisa.
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,572 Aug 9, 2020 #66,993 Zoë said: Jael njoo uweke picha. Huwezi kumfanyia hivyo baba. Hivi salamu zangu uliziona? Kutoka kwa Aunt Sakayo? Click to expand... Hii hapa
Zoë said: Jael njoo uweke picha. Huwezi kumfanyia hivyo baba. Hivi salamu zangu uliziona? Kutoka kwa Aunt Sakayo? Click to expand... Hii hapa
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 9, 2020 #66,994 Zoë said: Aise mimi ukitaka kuniaibisha nipe karatasi plain niandike yaani mistari inapinda. Na nilivyo na muandiko mbaya kama bata kapita ndiyo kabisa. Click to expand... Mimi naweza zaidi kwenye karatasi plain kuliko yenye mistari I wish humu ndani siku moja tuchat kwa miandiko yetu.. Wallah Kuna comments tutashindwa kuzisoma
Zoë said: Aise mimi ukitaka kuniaibisha nipe karatasi plain niandike yaani mistari inapinda. Na nilivyo na muandiko mbaya kama bata kapita ndiyo kabisa. Click to expand... Mimi naweza zaidi kwenye karatasi plain kuliko yenye mistari I wish humu ndani siku moja tuchat kwa miandiko yetu.. Wallah Kuna comments tutashindwa kuzisoma
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Aug 9, 2020 #66,995 Saint Anne said: Nilikuwa kuchangamsha mdomo MMU huko. Baadaye nizikute picha kule Halafu nitajibu vile viporo vya maswali yako, Click to expand... Jibu kwanza maswali yangu halafu nami ndio nikutumie picha! Deal?
Saint Anne said: Nilikuwa kuchangamsha mdomo MMU huko. Baadaye nizikute picha kule Halafu nitajibu vile viporo vya maswali yako, Click to expand... Jibu kwanza maswali yangu halafu nami ndio nikutumie picha! Deal?
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 9, 2020 #66,996 Zoë said: Jibu kwanza maswali yangu halafu nami ndio nikutumie picha! Deal? Click to expand... A wapi Tunaenda zamu kwa zamu
Zoë said: Jibu kwanza maswali yangu halafu nami ndio nikutumie picha! Deal? Click to expand... A wapi Tunaenda zamu kwa zamu
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Aug 9, 2020 #66,997 Jael said: Hii hapaView attachment 1532327 Click to expand...
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Aug 9, 2020 #66,998 Saint Anne said: Mimi naweza zaidi kwenye karatasi plain kuliko yenye mistari I wish humu ndani siku moja tuchat kwa miandiko yetu.. Wallah Kuna comments tutashindwa kuzisoma Click to expand... huko kutakuwa ni kutaka kuaibishana sasa, tuache tu teknolojia ifanye kazi yake tusitake kuchoshana aise.
Saint Anne said: Mimi naweza zaidi kwenye karatasi plain kuliko yenye mistari I wish humu ndani siku moja tuchat kwa miandiko yetu.. Wallah Kuna comments tutashindwa kuzisoma Click to expand... huko kutakuwa ni kutaka kuaibishana sasa, tuache tu teknolojia ifanye kazi yake tusitake kuchoshana aise.
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Aug 9, 2020 #66,999 Saint Anne said: A wapi Tunaenda zamu kwa zamu Click to expand... Ah basi kumbe hutaki picha wewe
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 9, 2020 #67,000 Zoë said: huko kutakuwa ni kutaka kuaibishana sasa, tuache tu teknolojia ifanye kazi yake tusitake kuchoshana aise. Click to expand... Hivi hampendi kuandika kwa mikono yenu jamani
Zoë said: huko kutakuwa ni kutaka kuaibishana sasa, tuache tu teknolojia ifanye kazi yake tusitake kuchoshana aise. Click to expand... Hivi hampendi kuandika kwa mikono yenu jamani