Kuacha kabisa sitoweza. Ila nilijitahidi kupunguza.
Misosi ya wanga inanishinda siku hizi, nikila wali mchana mpaka jioni nakuwa nimeshiba shiba tu. Kama leo nilikula wali samaki mchana lakini mpaka saa hizi sioni dalili kama nitakula usiku huu... Chips hazichoshi sema kitumbo kitajaa nishindwe kuvaa baadhi ya vi blouse
Maisha ya usingle magumu yanatia uvivu kupika pika, kula restaurant kila mlo ni kujitia umaskini , nasubiri Dec nirudi kwetu nikanenepe