Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

jana nlifata kauli ya waziri mkuu....alisema tnakarbishwa chuo cha MUM...nkaona ngoja nkacheki wtt wakicheza kwa fraha na kuifrahia eid.....nilifrahi sana
IMG-20200731-WA0008.jpg
 
Wapi pengine naweza kwenda kuangalia mpira wa Arsenal na Chelsea?
cpo vzur ktk ushabik wa mpir ila nliwah kwend flomi cku 1 kuchek mpira wako frexh sana pale.njoo flomi mkuu, kiingilio bei iko resonable kbisaa...VVIP ni 20,000..iko under ground , dhen kna normal ambay unalipa 5,000. ukiingia kuna service kama karanga na soda kwa wapenda gambe pia zipo.....bt kwa mpira pia nyumbani park (samaki samaki) hapako vibaya kiviiiiiiile, au njoo airport bar mkuu hayo ndo maeneo ya mpira ambapo utapata 1 moto 1 barid bila usmbuf... maeneo yte nlokutjia yapo karb karb,vumilia morogoro sio mji wa madaha sana huku ni kma kjijin flani...
 
Back
Top Bottom