Selfika na JF: Snap it. Show it

Hvi huwa mnafanyagaje hadi mnamiliki gari!??
Kuna opt mbali mbali. Waweza lichukua google na kumiliki ukawa unaliendeshea ndotoni....

Ama unaweza dunduliza mishahara yako kama mingapi hivi ukanunua, pia kuna opt ya mikopo. Waweza kopa VICOBA, SACCOS ama kwa Bank (s)

Kila la kheri mkuu, ukishamiliki usisahau kapicha 😆
 
Jibu lako limenifurahisha sana


Naona hii njia ya kwanza ya kugoogle ni rahisi zaidi nitaifanyia kazi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…