Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,414
- 95,885
Dah nani amekutibua mtoto mzuri km wewe ? Watu wengine bana yaani mtoto km cocastic unamtibua ? Dah kwenye miti hkn wajenziDuuuuh leo sna usngz kuna mtu kanitibua sanaa, acha nipoteze muda hapa, bahat nzur kesho sna pindi.
Hahahaha,mbn mbioHakuna mkate mgumu mbele ya chai, [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Weee hebu weka na mie nione boom lako.
Hahahaha, boom kiji boom ,we vuta subiraWeee hebu weka na mie nione boom lako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unanchekesha sanaaaaah, yaan hasira zote znaisha, hivi unawaza nn? Hilo boom lifute litakulipukia oooooh.Dah nani amekutibua mtoto mzuri km wewe ? Watu wengine bana yaani mtoto km cocastic unamtibua ? Dah kwenye miti hkn wajenzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Namkimbia mjeda asije nambia habari za kwata, nani anataka saiv ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We we we bora lilipuke mkononi sio kufuta ,we we unavutaje vitu vzr na adimu km vile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unanchekesha sanaaaaah, yaan hasira zote znaisha, hivi unawaza nn? Hilo boom lifute litakulipukia oooooh.
Hahahaha, hilo haliwezekaniNamkimbia mjeda asije nambia habari za kwata, nani anataka saiv ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kabisaaaaaa, "haya mistari miwil hapo chuchumaa ki chura chura" mxieeeeew kwa yule kamanda, nmekumbuka ukuruta uwiiiiiiiiiiih
Tobaaaaaaaaah lol, hebu acha masikhara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We we we bora lilipuke mkononi sio kufuta ,we we unavutaje vitu vzr na adimu km vile
Naijengea frame kabisa ikae ukutani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, kumbe uko fit eehAcha kabisaaaaaa, "haya mistari miwil hapo chuchumaa ki chura chura" mxieeeeew kwa yule kamanda, nmekumbuka ukuruta uwiiiiiiiiiiih
Hahahaha hivi u nadhani utani ? Ni nayo ileTobaaaaaaaaah lol, hebu acha masikhara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sanaaaah, ila msiwe mnawatesa vile jaman watoto wa watu khaaaaaah, utadhan vita mmmmh wengine wamelelewa km chupa ya chai, mtakuja muwaue bureeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huhuhuhuh ila wee ulisave vip boom lile wakat nkaweka na kufuta withn a minute. Mmmmmh wee sharp san
Hahahaha, mbn mm sio mjeda sasa mtoto muzuri ,ila si unaona umekua mzalendo na mkakamavuSanaaaah, ila msiwe mnawatesa vile jaman watoto wa watu khaaaaaah, utadhan vita mmmmh wengine wamelelewa km chupa ya chai, mtakuja muwaue bureeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha huamini ? Ila mmmmh uko vzr sana ,kipotabo Fulani amazing hvHuhuhuhuh ila wee ulisave vip boom lile wakat nkaweka na kufuta withn a minute. Mmmmmh wee sharp san
Ila kuna huyo mjeda wa kike mmmh hapan alinichukia sana, km adhabu zake nmepataah yaan nilihis Dunia chungu, nilijiroga sku hyo kumuuliza "why afande unanchukia" tobaaaaaaaah mweeeee ndo nilijua vizuri nn maan ya jeshi,Hahahaha, mbn mm sio mjeda sasa mtoto muzuri ,ila si unaona umekua mzalendo na mkakamavu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, pole sana , ila pia hongera kwa kupita kwa mujibu wa sheriaIla kuna huyo mjeda wa kike mmmh hapan alinichukia sana, km adhabu zake nmepataah yaan nilihis Dunia chungu, nilijiroga sku hyo kumuuliza "why afande unanchukia" tobaaaaaaaah mweeeee ndo nilijua vizuri nn maan ya jeshi,
ile sku ya kuaga alinifata tulikaa San luzungumza plus kuomba nisimchukulie vbaya, na bla bla nyingi ila now nshamsamehee tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haaaaah weeee acha hizo daddieeeeh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaaah kumbe mko sharp kusave mabomu. Ngojea mlipukiwe.Hahahaha huamini ? Ila mmmmh uko vzr sana ,kipotabo Fulani amazing hv
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha lako haliwezi kunilipukia liko SafeHaaaaah weeee acha hizo daddieeeeh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaaah kumbe mko sharp kusave mabomu. Ngojea mlipukiwe.