cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,132
Kesho SAA 3 usku nalipua zaidi ya leo.Nyingine please..ya kwako![]()
Kesho SAA 3 usku nalipua zaidi ya leo.Nyingine please..ya kwako![]()
Binamu yangu huyo..😂😂 anakusalimia sanaLips sasa mweeeeeh
Nimeshaandika pembeni kesho saa 3 cocastic atalipua jf..😂😂 can't waitKesho SAA 3 usku nalipua zaidi ya leo.
Uwiiiiiiih nae msalimieeeehBinamu yangu huyo..anakusalimia sana
Yaaan kesho nataka Dunia iwe paused kwa muda.Nimeshaandika pembeni kesho saa 3 cocastic atalipua jf..can't wait



AmeeeenHakika tumeona Tumeuona
Mkono wako Bwana
Matendo yako Bwana ni makuu mno Umetutoa mbali
Ukatushika mkono
Mahali uliona pekee hatuwezi
Chini hata juu Watu unawainua Sifa na utukufu ni zako milele
Twasifu jina lako, Milele tutakusifu
Daima we umwema tutaishi kwako Tumeuona, mkono wako Bwana
Matendo yako Bwana ni makuu mno Umetutoa mbali, Ukatushika mkono
Mahali uliona pekee hatuwezi
Chini hata juu, Watu unawainua
Sifa na utukufu ni zako milele.
🤣🤣🤣🤣🤣Yaaan kesho nataka Dunia iwe paused kwa muda.![]()
AmeeeeeeeeeeeeeeenHakika tumeona Tumeuona
Mkono wako Bwana
Matendo yako Bwana ni makuu mno Umetutoa mbali
Ukatushika mkono
Mahali uliona pekee hatuwezi
Chini hata juu Watu unawainua Sifa na utukufu ni zako milele
Twasifu jina lako, Milele tutakusifu
Daima we umwema tutaishi kwako Tumeuona, mkono wako Bwana
Matendo yako Bwana ni makuu mno Umetutoa mbali, Ukatushika mkono
Mahali uliona pekee hatuwezi
Chini hata juu, Watu unawainua
Sifa na utukufu ni zako milele.



Uwiiiiiiiiiiiiih
Muda mwema mpendwa..naangusha mdogo mdogoUwiiiiiiiiiiiiih
Hapa hapa lol. Afu uje pm baas nahitaji mafunzo yako.Auntie sasa ukilipua jf tutachat wapi?
Mie ndo namalizia movie nizime pc nidondoshe kimojaaaaah.Muda mwema mpendwa..naangusha mdogo mdogo
Umesave boom hilo ngoja likulipukie,



Aya weka picha yako nawee nikuonee.