Selfika na JF: Snap it. Show it

Basi mimi nitakuwa na damu nyingi sana..ni lazima kila siku nile tembele lililochemshwa na pilipiki ya kutosha😂😂
 
Uwiiiiiiiiiiiih eti eeeeh, sasa kila m1 na life style ake, ndo maan kuna wanao haha, na wa kutulia, kikubwa kufurahia maisha tyuuuuh.

Khaah... Kama juzi kati nilibahatika kukutana na rafiki yangu tuliopptezana kwa muda mrefu.

Aisee kumbe kwa miaka hiyo tuliyopotezana jamaa keshabadilika na yupo na kazi nzuri ya heshima yake hapa mjini...

Katika story mbili tatu nikagundua huyu rafiki yangu keshapotea, sijakaa sawa naona anaanza nishika mkono mara kulamba shingo yangu...

Ilibidi niage kwa kweli, huu mji hawa watu wamejaa sana na hadi kuwagundua ni hadi akuoneshe hizo pigo...
 
Mmmmmmh vibaya hivyo, usingeaga wee ungemueleza tyuh kuwa hapana huusiki na hayo mambo, angekuelewa, ulivoaga ndo ukamfanya a feel worry, na anaweza asiwe na amani juu yako. Hebu tupendane wanadamu mapungufu yapo tyuuh.
 
Mmmmmmh vibaya hivyo, usingeaga wee ungemueleza tyuh kuwa hapana huusiki na hayo mambo, angekuelewa, ulivoaga ndo ukamfanya a feel worry, na anaweza asiwe na amani juu yako. Hebu tupendane wanadamu mapungufu yapo tyuuh.

Hapana kwa kweli. Anapiga simu sana hadi kero
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…