Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Rudi hapa🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Rudi hapa🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Amina mpendwaOohh
Apumzike kwa amani
Mi sina saa kali mkuu, ndinga yangu ndio hio hapo mkuu Tz11...Nikinunua ndinga ntapostJombaa wenzako wanawekaga mikono yenye saa kali kali na funguo za ndinga.
We unatuwekea miguu.
Umezingua bwana
Kweli😂😂😂😂😂😂kwa vyovyote vile lazima maisha yaendelee lakin😂😂
😝😝😝😝😝 ur welcomeMguu wenyewe umeficha kwa trouser!! Anyway thanks coz ume do the needful 😎
Shimba acha uhuni basi, hebu weka picha ninayoitaka bwana.Bado yapo nahangaika nayo pole pole. Tena jana nimeongezea mengine tofauti tofauti. Ushindwe mwenyewe tu![]()
Mi sina saa kali mkuu, ndinga yangu ndio hio hapo mkuu Tz11...Nikinunua ndinga ntapost
Mkuu nimecheka mpaja nimeulizwa hapa "mbona unacheka shangazi"Ongeza maisha mkuu ndio raha ya jf🤣🤣🤣![]()
![]()
![]()
Mkuu nimecheka mpaja nimeulizwa hapa "mbona unacheka shangazi"
This is jf.
Shikamoo kaka.
Hivi ile picha ulonitishia nayo ulituma?Shikamoo kaka.
Naona umetuamulia au siyo!!!
Picha jamani
Naona umetuamulia au siyo!!!
Guu guu 😍
🤣🤣🤣 Embruuuu niacheMbn wewe huweki...acha kutuchocha😂😂
Marahaba mdogo wangu mzuri.Shikamoo kaka.
Kudanganya dhambi..shauri yako.Mdogo wangu huyo madame
Kwendraaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Embruuuu niache
Sina Cha kuweka ivyo