Mkuu hapo umekosa PS, japo siku hizi nnaichukia maana dogo ananipiga kila siku, afu anatamba kua yeye mbabe wangu
Sure, nitakaribia, utaniambia tuu block ipi nikifika na room # privately kisha nitakuletea zawadiKaribuu boss
SawaSure, nitakaribia, utaniambia tuu block ipi nikifika na room # privately kisha nitakuletea zawadi
Me nimeona kinyume na ulivyo andikaVidole vya kike
Wewe mzee wa manyaunyau unashindwaje kukaa hapo kwa PriscalliaVidole vya kike
Dooh huyo ndiyo anavuta kuliko hata mimi@Zoë nilikwambia zile bangi zako uwe unavuta mbali na huyu mtoto maana moshi ni hatari sana. Ona sasa![]()
Bora umuambie mwenyewe
Zoë:Bora umuambie mwenyewe
NambieZoë:
HujamboNambie