Kah nimesoma mwanzo mpaka mwisho nikanza kusoma mwisho mpaka mwanzo, maana sio kwa maonjo haya,
hivi
Kasie ukianza kumuweka kati baba watoto ukitaka kumtoa pesa ukimpanga na maneno haya yenye maonjo yake anachomoka kweli?
wanawake mnatikwa muwe wabunifu na mjue wanauem tunapenda nini sisi wanaume sio mabahiri ila tunapoeta sana tukipangwa na mavionjo