kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,239
- 17,676
Upo Arusha??sahivi tumebaki na manyunyu kwahiyo hiyo pole yako inabidi ije na kikombe cha kahawa
Upo Arusha??sahivi tumebaki na manyunyu kwahiyo hiyo pole yako inabidi ije na kikombe cha kahawa
Kumbe Messi anatumia hii I'd
,mambo Cole Messi!Sana ,tunachochea tu.Naona ulikuwa unamsaidia kuchochea kasi ya picha



Mwl 🙈aise
Sawa, ngoja ni mimi nifute zangu.Ndiooo
NdioUpo Arusha??
Wengi tu wanafuta, hasa mademuNani kafuta?
Kabla hujafuta naomba unitag nioneSawa, ngoja ni mimi nifute zangu.
Weka lako
Ooh..!Kabla hujafuta naomba unitag nione
Tena pasi ya mkaaWe utakuwa pasii no offense..
Bukoba moja hiyooo ,hao wadudu watamu sana, nishawahi hadi kupaliwa sijui nilikula hadi kimguu chakeHuwa natumiwa, hata hivo wanaisha sasa maana utunzaji wake unataka uwe mvumilivu sana. Picha nilipiga wakati nawaonja nilivoletewa sahivi nilikuwa sehemu siyo sahihi kupiga picha thats why nikachomoa hii ingawa muda huo nilikuwa nawala
,ulafi huuNdio ile ulikuwa unarudi nyumbani?Ooh..!
Mademu ndio manini?Wengi tu wanafuta, hasa mademu
Umepatia
Wanawake wasiokuwa na waume.Mademu ndio manini?