Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huko ndiyo nilikuwa, IDK nini kimetokea mpaka nimeporomoka hivi na siumwi kitu.
CM za urefu sijui, ila nina urefu wastani.

Ngoja nitafute kapicha
Kwa kuanzia ni hzo limao wote tulioshauri tumekubaliana katika hilo,huna budi kuacha!!

Ukishaacha sasa tuangalie mwezi mmoja huku ukiwa una kula kama kawaida bila kujinyima plus matunda ya kutosha..

Ok fanya kutuma hyo picha japo naamini unahitaji kuongeza kilo ufike hata 58 to 60

The only thing to fear is fear itself
 
B381C597-AA94-4386-9F6C-4B91794358A7.jpeg
 
Ninapitwa sijui kwa sababu zipi dadeq! Mungu azidi kuwahuisha, nimeona vitu vizuri sana humu.
 
Back
Top Bottom