Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,823
- 233,255
Mimi sasahivi nimerefuka.Afu ukinenepa unakuwa mfupi, kazi ipo
😂😂chizi wewe
Basi tatizo liko hapa maana nikimaliza tu shule huwa nafumuka
Ila Kuna kipindi hasa mitihani ikiaribia naporomoka hata kg5
Vyuo vya huko kwingine sijui wanafungua lini ila sisi veta tunajifunzia cherehani nyumbani.
Sent using Jamii Forums mobile app
chizi wewe
Eti veta
Pole sana.Kwakweli.
Nimemmiss Sana chizi wangu yule..wa kunichekesha humu hayupo
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kabisa hizo limao naamini utaanza kuona matokeo mazuriNakula limao mimi sijui nina kijini uchachu, na mimba sina eti. Nikila ugali na dagaa lazima wale dagaa niwakamulie kipande cha limao, na hapo bado zile nazokula na chumvi basi naenjoy mwenyewe ila kumbe nipo kujiteketeza 😂😂
Limao naacha kabisa
Milo nakula sana tu, asubuhi mwenyewe uwa nakula mara mbili.
Nuts na mtindi nakula sana, parachichi nitaongeza idadi
Maji nakunywa mno
Stress kubwa kubwa sina, siumwi pia
Hunywi maji mpaka usubiri kwikwi? Duh! We ni noma 😀😀🙌Maji yanafanya mwili unawiri.
Sasa Mimi naweza pitisha siku sijakunywa hata glass1..nakunywa pale kwikwi ikinibana.
Nina nasal polyps(nyama za pua)
Sent using Jamii Forums mobile app
Maji hayaongezi kilo.Maji yanaongeza kilo? Tatizo lipi tukupe tiba
Kwamba unameza panadol kama pipi?Dawa gani hizo? Panadol zingekuwa miongoni nahisi ningekuwa kifurushi 😂
Ndiyoo 😀😀Mimi sasahivi nimerefuka.
Yaani Kuna mtu Mara ya mwisho nilikutana naye mwakajana,juzi nimekutana naye ananishangaa nilivyorefuka..ukikonda unakuwa mrefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Not kama pipi, yan nikihisi pain yoyote ile nishameza panadol. Nilifika stage panadol ikawa haishtuki mwilini, ikabdi nijipe likizo na madawa.Kwamba unameza panadol kama pipi?
Kuna dawa za allergy huyo dogo anazijua
Yaani hata mimi sijui natoka lini huku.Pole na majukumu,Am glad umekuja sasa nipo na furaha na amani tele.
Karantini unatoka lini!??Ugonjwa si unaisha J pili!?
Ukikaa sana tutakufuata sasa huko,kuhusu picha nitazituma mpaka utaona kero cha msingi kuwa na subira
The only thing to fear is fear itself
Anakuona mrefu sababu umekonda😂Mimi sasahivi nimerefuka.
Yaani Kuna mtu Mara ya mwisho nilikutana naye mwakajana,juzi nimekutana naye ananishangaa nilivyorefuka..ukikonda unakuwa mrefu
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂mimi nataka kijoranaendelea na masomo kwa vitendo nyumbani
Nipe tenda basi nikushonee Dera
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nilikuwa nafanya zamani, nilifika glass 3 ila inaboa sana kususu kila dkMaji hayaongezi kilo.
Kuna nutritionist mmoja aliwahi nambia ukiamka asubuh kabla hujala chochote kunywa maji glass moja,hii husababisha kuandaa tumbo kupokea chakula.
Kama si maji kula kipande cha chungwa baada ya muda utaanza kuhisi njaa
Haya madawa ukiyaendekeza siyo mazuri kabisa.Not kama pipi, yan nikihisi pain yoyote ile nishameza panadol. Nilifika stage panadol ikawa haishtuki mwilini, ikabdi nijipe likizo na madawa.
Sahivi nimerudi sawa
Kweli inaboa.Hii nilikuwa nafanya zamani, nilifika glass 3 ila inaboa sana kususu kila dk
Hahahaha, waambie wakupe ,nakuja kulipaYan hii baridi iliyopo huku na unavyotaja mchemsho mpaka utumbo wa chakula umetwerk
Thanks nakutakia kheri..Yaani hata mimi sijui natoka lini huku.
Mambo yamekuwa mengi sana.
Asante sana
Nitakuwa hapa nikisubiri hizo picha
Happy to see you
Nitakutafuta