Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 8,407
- 28,836
Hahaha.!!Do you know that, pictures speak alot??
Nikuambie unawatoto wangapi? au uliwahi kubeba mimba ngapi??
Umeshanipa mpaka watoto mkuu?? Barikiwa sana naomba tu wawe mapacha lakini please.!!
Hahaha.!!Do you know that, pictures speak alot??
Nikuambie unawatoto wangapi? au uliwahi kubeba mimba ngapi??
We mwanamke usiache kuni tagSawa ngoja ni upload![]()
Msamehe bure jamani!Huyu jamaa amenikasirisha sana. Mimi mlaini?
Let's wait and see..!!Nimeshamwambia lakini bado naona hajafungua huenda bado anatafuta funguo
Msamehe bure jamani!
Ngumu kumpata bana..sisi si wahindi , binamu kwa binamu, haya basi nitafutie mwenye wadhifa kama wewe anaenifaa
Nimebarikiwa nini nguo au simu yenye kamera nzuri?
bahati nzuri,warembo huwa hawakasiriki ujue
HahahahahaSawa ngoja ni upload![]()
Hebu njoo pm... Nimegundua kuna watu wabaya wanakufuatilia... Nikupe Kinga![]()
Hahahahahahaha nitakutagWe mwanamke usiache kuni tag
Hahaha.!!
Umeshanipa mpaka watoto mkuu?? Barikiwa sana naomba tu wawe mapacha lakini please.!!







Hivi vimifupa nikivi upload hapa si nitachekwaHahahahaha
Niko hapa mimi jamani


Siyo lengo la uziNgoja niihifadhi kwa matumizi ya baadae