Selfika na JF: Snap it. Show it

Aise wengine tunatamani kupungua ikiwezekana tuwe hata kama moja
 
Ngoja nikupelekee kwenye uzi wa likes
 
Hufanyi mazoezi!??

Umesema ni food monga wa chakula gani hasa!??

Kwa kuanzia kama hufanyi mazoezi na unakula nyama na wanga kama kawaida tatizo litakuwa hilo la kula Limao kama chungwa..

Kilo 7 kwa mwezi si kilo chache kupoteza ikiwa si mtu wa mazoezi,

Kunenepa ni jambo rahisi mno kufanya kula red meat za kutosha na wanga bila mpangilio bila kusahau soda katika mlo wako

The only thing to fear is fear itself
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…