Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246



za kichwani ??Kumbe ndiyo zenu



nini wewe, sisi humu tunachangamsha genge tu wala hatufahamiani na hata pm hatujawahi kufika.za kichwani ??


i hope iko njiani saa hii
Ila we binti una kamguu kazuri. Tubadilishane basi.
Daah kaka niamke saa hii nina raha ganiNdio unaamka. Yani...
komesha korona
Kwani naye kashafuta ??
zamani sana mkuu
PoleKeshafuta..![]()
I will be hacking their smartphones now..![]()



na mie nakuja unifundishe kuhack simu zao wasitutanie hawa
Pole

na mie nakuja unifundishe kuhack simu zao wasitutanie hawa
Mbona hujajichonga? Una kichogo kizuri
kuchonga ngumu kwa sababu sioni, nikiweka namba tatu kwenye machine napitisha level. za kichwani ??
, Kichwa kipi? Kuna kichwa chenye nywele na kichwa kisicho na nywele.