Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,335
- 17,621
Enzi zangu nilivyokuwa kijana.
Enzi zangu nilivyokuwa kijana.
comfirm kuanzia saa ngapi tutegesha alarm.Kuanzia saa ngapi mkuu?
Enzi zangu nilivyokuwa kijana.View attachment 1450950
Hapo kabla hawajagundua Gillete blue 2 





Teh teh kipindi hiki cha lockdown mara nyingi mie hulala saa 10 alfajiri mkuu. Kama picha zitanipita basi ni kwa sababu sitakuwa JF ila siyo kwa sababu nitakuwa nimelala maana mara nyingi hukesha ila sikeshi JF.Kwa mujibu wa ratiba dada Sakayo amesema ni kuanzia saa 8 hadi saa 9 usiku wa manane, Utawezana?
Kasema kuanzia saa 8 hadi 9comfirm kuanzia saa ngapi tutegesha alarm.
Teh teh kipindi hiki cha lockdown mara nyingi mie hulala saa 10 alfajiri mkuu. Kama picha zitanipita basi ni kwa sababu sitakuwa JF ila siyo kwa sababu nitakuwa nimelala maana mara nyingi hukesha ila sikeshi JF.
Kwahiyo huo muda kama nitaingia JF nitaona
😂😂


Enzi zangu nilivyokuwa kijana.View attachment 1450950
Shukrani sana mkuu. Nasubiri.
Usisahau kusave.Shukrani sana mkuu. Nasubiri.
Na wewe nitakuamshaa