Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
ZilinichoshaNi nini mbaya kunyoa nywele??![]()
Mwishowe nikawa naonekana Kama kichaa

Sent using Jamii Forums mobile app
ZilinichoshaNi nini mbaya kunyoa nywele??![]()

Nimeonja ya bro hiyo k vant
Aiseee nimerukaruka..nikarudi kwenye grand malt yangu
Sent using Jamii Forums mobile app






Kd alinidanganya alinambia hiyo ya bro inanoga Kama grand malt
Leo nikawa Tomaso
Sent using Jamii Forums mobile app




Dah!pole sema bado umependeza maana unakichwa kizuri sio kama changu

Kweli siwezi
Acha kumsingizia maana tulikwambia hiyo kitu huwezani nayo ukawa unabisha.
Ubishi wako umekuponza



Kulewa siwezi
Wewe si ulisema unakunywa hiyo na haitakushinda?
Yaani nacheka kijinga hapa



Anazingua mdgo wako...sie na umri huu tunamuita halafu hajiHivi ni bado hupati notifications?
Tulikuita sana jana
Carb..Tulikuwa nae home kule
Hujambo lakin totoo?
Kweli siwezi
Kama vitu vyenyewe Ni vichungu hivi basi Mimi siwezi
Sent using Jamii Forums mobile app







Dawa ya CoronaSijambo carba
Leo nipo sehemu nikakumbuka ushauri wenu.
Nikaona isiwe kesi na Mimi nijaribu kile chombo,nikamuomba bro nionje
Pafu la kwanza tu nimeshindwa kumezaView attachment 1434776
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa leo ndo ilikuwa siku ya kujua kama unalewa ama hulewi


ungeendelea kupiga kvant uone kile kitakukutaNgoja kwanza..Ni nini mbaya kunyoa nywele??![]()


Embu tuoneDah!pole sema bado umependeza maana unakichwa kizuri sio kama changu![]()
Huyu dogo notification zinamsumbua
Haya nionyeshe njia basi
Kwamba hujaiona?


Sasa leo ndo ilikuwa siku ya kujua kama unalewa ama hulewiungeendelea kupiga kvant uone kile kitakukuta






Unadhani nimemeza Basi
Ndo uwe unasikiza maneno ya wakubwa zako.
Ukiambiwa unaelewa
Hujasikia kulewa hivi?







Ila umenichekesha sana


