Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,206
Hili ndilo la msingi baba, niko njiani.
@MO11 unaitwa huku mpenzi.Hv yule babedarlin wako alikuwa anaitwa Mo nimesahau id vzr yupo wapi?? Au anatumia id gan
Nmemkumbuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hello mambo vipi mupenziiiHello my brothers and sister's nimewa miss 😍
Hivi hao Tilapia kwa kiswahili ndiyo wanaitwa sato au sangara ??


DagaaaHivi hao Tilapia kwa kiswahili ndiyo wanaitwa sato au sangara ??![]()
Hivi kuna mwingine kipenzimwee dada mimi tena ??
Mmhh
Hahah!!Sema wewe unaninyima nini !??mnazareti unataka kuninyima nini eti jamani
Muwe na jumapili tulivu.
Nimetoa kitenge changu nivae niende kanisani, kuna sauti ikaniambia Sakayo acha kiherehere! Nimekirudisha saivi nimelala









Muwe na jumapili tulivu.
Nimetoa kitenge changu nivae niende kanisani, kuna sauti ikaniambia Sakayo acha kiherehere! Nimekirudisha saivi nimelala



khaa