Teh teh ingekuwa rahisi hivyo basi wengi tungeliwa kimasihara sana tu, maana wengine tuna hadi namba za freelancers wa kusajili line za simu nini vinyozi.
Teh teh ingekuwa rahisi hivyo basi wengi tungeliwa kimasihara sana tu, maana wengine tuna hadi namba za freelancers wa kusajili line za simu nini vinyozi.
Sioni shida katika way...binafsi Makiseo yale mawigi uliyokuwa unavaa zamani hayana way?
Kuna way ya kitana na way ya machine. Sometimes esp. Weekends nawekaga way ya kitana
Sioni shida katika way...binafsi Makiseo yale mawigi uliyokuwa unavaa zamani hayana way?
Kuna way ya kitana na way ya machine. Sometimes esp. Weekends nawekaga way ya kitana
Siku moja husije ukajikuta unamuimbia mwamba haya mashairi.
Alivyoniingia (sikumbuki)
Akanizoea (sikumbuki)
Moyo akanipa na wangu nkautua
Ningefanyaje na we haukua karibu na mimi
Lakini ye ndie alikua ananijali mimi Ntafanyaje na ye yu tayari kuishi mimi Lakini wee ndie tulizo la moyo wangu.....
Sioni shida katika way...binafsi Makiseo yale mawigi uliyokuwa unavaa zamani hayana way?
Kuna way ya kitana na way ya machine. Sometimes esp. Weekends nawekaga way ya kitana
Just a fashion..... mambo ya uhuni ni tabia binafsi, either una low curt plus way, hijjab, mawigi, unasuka kama una tabia za kihuni hizo ni zako tu.
Ila mimi ya machine hapana kwa sasa hivi thoe huko nyuma nishawahi kuweka. (Mama akanambia marufuku 😀😀😀 sikurudia tena
Low curt esp. Panki ile ya kisabato ikiwa na way inapendeza...nawaonaga wadada wa cutting master
Nywele yangu ikiwa na curl weekend naweka ya kitana (nimezoea...ukiniona muhuni shauri yako