Selfika na JF: Snap it. Show it

Acheni kulalamika mazee!
Kama vipi tupeane doo sisi tunaotembea kwa miguu tupate walao kaverosa ka kwenda church jumapili!!

Maisha ni haya haya tuu jamani! Mimi huwa natuma hadi mahindi ya kuchemsha na life linaenda mazee!

Tulianza kwa upendo, tuishi kwa upendo! TUSINYIMANE, ukiona mepiga picha na tecno yangu haionekani poa basi fanya kunipostiaa kasamsung jamani! Hatuwezi kufanana wootee!!


Sakayo
 
Haha eti wanajinyongefy...basi tu tuseme shauri zao na mawazo yao maana humu kuna watu hata hawaeleweki mitazamo yao iko vipi, ukipost cha gharama unajimwambafy bado ukipost cha hali ya kawaida bado watakusema wanasahau watu wa JF ndio kina sisi wa uraiani kuna classes tofauti kuanzia first class, upper second, lower mpaka pass 😀😀😀
 
💯
 
Ni hayo tu, Don't hate, get inspired

Jr
 
Umeeleweka uncle.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…