Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,221
Buza secondary, TanzaniaAisee mkuu,shule gani na nchi gani?
Buza secondary, TanzaniaAisee mkuu,shule gani na nchi gani?
Hahahhahaha nimeleta ubunifu au siyo.... Letsi kipu enjoyingi iti jamani..Hahahaha
Umekopa kwangu but inabidi nisome mara tatu akii... ai du laiki it tuu
Hivi mupo humu?!
Shikamooni
Watu wa huu uzi mkitoa ahadi mkamilishe tafadhali....
Tunaangushana jamanii...
Wale wa raba
Saa
Bag
Tshet
Mpaka saivi mepokea raba moja matata saaanaaa....
Hahahaha, naingia lindo muda si mrefu,siku tutaonana
Hahahaha, haya bana km huamini, niko hapa kota za bandari ,jogging mpk coco beachMnh siamini
Sure man, unatembelea comments zote haukuti selfie unakuta showoff za magari, vyakula, picha za migahawa na mahotels.Ha ha ha, obvious. Kama huna kitu cha kushow off huu uzi siyo rafiki.
Ukute ndo wale wa aliyeko juu mngoje chini ndo kabisa utaukimbia.
Hahahaha, haya bana km huamini, niko hapa kota za bandari ,jogging mpk coco beach
Nyie mbona hamjaweka zenu? Don ClericuzioSure man, unatembelea comments zote haukuti selfie unakuta showoff za magari, vyakula, picha za migahawa na mahotels.
Mwanzo huu Uzi ndio ulikuwa na maana watu wanaweka selfie zao sasa hivi ni maonesho ya ulichonacho.
Hayo maji yalishawai kunifanya nikastop kunywa kwa muda
Sure man, unatembelea comments zote haukuti selfie unakuta showoff za magari, vyakula, picha za migahawa na mahotels.
Mwanzo huu Uzi ndio ulikuwa na maana watu wanaweka selfie zao sasa hivi ni maonesho ya ulichonacho.
Naona unatonesha kidonda
Nyie mbona hamjaweka zenu? Don Clericuzio
Wengine hapa tulishajitupia mpaka ikaonekana mnatuvuna ndo maana tukaondoka na waliobaki wanakazi ya kuchat na kusambaza likes.
Watu wanapost vitu vyenye wanajisikia nyie mnaona SHOWOFF 😂😂 jamani hii karne nayo iishege tu