Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,345
- 17,656
Hahaha kuna mwanangu kaukacha kwasababu ya hyo sononeko kaseba watu wanajimwambafy sanaHuu uzi ni inspirational on one hand, lakini pia unaweza kukupa sononeko.



Mie pia nyama naila vizuri sana ,kweli maziwa itakuwa kwasababu ya kutoyazoea tuu .I think it’s gross!
But then again I eat goat meat.
Labda ni vile tu sijakua nikiyanywa hayo maziwa ya mbuzi.
Nishakutana na watu ambao wao mbuzi kwao ni pet animal 🤣.
Ukiwaambia unakula mbuzi wanakushangaa!
Mkuu hamna vacany za civil engineering hata za intern. Maana tokea nimemaliza sijapata hata mahali pakutafutia experience mimi graduate.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu, hopefully itatokea nafasi siku moja.Mkuu kwa sasa tunao intern wa kutosha wa SEAP ila usiwaze milango itafunguka ikitokea nafasi ntakucheli
Sent using Jamii Forums mobile app
DuhHahaha kuna mwanangu kaukacha kwasababu ya hyo sononeko kaseba watu wanajimwambafy sana
Itakua aliona watu wanapost ma Clark's mara visahani speed 360 akaona isiwe tabuu
Sent using Jamii Forums mobile app



oh i see
Only thing that can defeat fresh off the fridge Jackfruit is a fresh and clean punanay. Watermelon too is the truth.
View attachment 1353558
Hahaha kuna mwanangu kaukacha kwasababu ya hyo sononeko kaseba watu wanajimwambafy sana
Itakua aliona watu wanapost ma Clark's mara visahani speed 360 akaona isiwe tabuu
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahaHa ha ha, obvious. Kama huna kitu cha kushow off huu uzi siyo rafiki.
Ukute ndo wale wa aliyeko juu mngoje chini ndo kabisa utaukimbia.
Mkuu nilijua wewe ni wa milima ya upareni?Kwetu nyumbani.. I miss the place
Jr![]()