cadey
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 1,455
- 4,432
Hah nae kafurahi kupokea salam kutoka kwa watu wasiojulikana
Zimemfikia aisee walah nimefurahi leo ntamuwaza usiku kucha.
Zimemfikia aisee walah nimefurahi leo ntamuwaza usiku kucha.
Du ze nidifuli please
Problemu yu noo hau tu disapia.... Yu hevu neva shoo apuDu ze nidifuli please

Watu gani tena hao,mwambie awapuuzie nimeanza kusikia wivu.Hah nae kafurahi kupokea salam kutoka kwa watu wasiojulikana
Amu oluweiz hia mai dia, jasti du ze nidifuli
New MgaoWakati ulee unapoamka huoni Altama zako ziko wapi.....unaamua kuchanganya tu mafaili
Staff shoes vs KitengeView attachment 1348323
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiwa mkubwa nataka niwe kama wewe..


Amu oluweiz hia mai dia, jasti du ze nidifuli








SawaWatu gani tena hao,mwambie awapuuzie nimeanza kusikia wivu.
Kuna watu pia walituma salamWatu gani tena hao,mwambie awapuuzie nimeanza kusikia wivu.
Anawasalimia wote waliotuma salam jana View attachment 1349916
Baga joint...hizo baga zingekuwa zipo kama zionelanavyo kwenye picha basi ingekuwa bomba sana.
View attachment 1350012
Ungeshikaje mkononi??