Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

we mtoto leo nimeamini kweli hunipendi,, yaani event yenyewe kesho halafu unanimbia leo aliyekuambia mie nina hela ya kupanda bombardier nani.. ungeniambia mapema ningedandia dar express chap nikatimba huko fyade,, unazingua chalii..

ila we dawa yako january tu yaani mie hata siongei sana mbona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
we mtoto leo nimeamini kweli hunipendi,, yaani event yenyewe kesho halafu unanimbia leo aliyekuambia mie nina hela ya kupanda bombardier nani.. ungeniambia mapema ningedandia dar express chap nikatimba huko fyade,, unazingua chalii..

ila we dawa yako january tu yaani mie hata siongei sana mbona

Sent using Jamii Forums mobile app
Ongea na Mshana Jr akuazime ungo wake 😂😂😂😂

Dada emu usinitishe mie na hiyo January, na vile inavyokuwaga ngumu!! Mbona nitaona kila rangi
 
Yaani natamani hata ningekuwa huko,, tena nimeona inafanyikia sakina ushuani huko daah ningekuwa sijatingwa wallah ningekuja..

January ngumu sana halafu inakuwaga ndefu
Ongea na Mshana Jr akuazime ungo wake

Dada emu usinitishe mie na hiyo January, na vile inavyokuwaga ngumu!! Mbona nitaona kila rangi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee baba hiyo suruali ulipoivalia...
Hapo ni pabaya mkuu?
Screenshot_20191226-181916.jpeg
 
Back
Top Bottom