Simuogopi mkuu, tatizo gia ya kuingilia home ndio ilikuwa changamoto.
Lakini tusha yamaliza, nimemwambia nilikuwa namsaidia Tito kwa wasio julikana ndiomaana nipigwa bomu....teh
Kwa hiyo hapa saizi amani tele...
View attachment 1304001
Sent using
Jamii Forums mobile app