Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
HayaWasalimie uendako auntie.
HayaWasalimie uendako auntie.
Huo mwaliko uko wapidaah sasa unaleft kisa haujapokea mualiko jamani?? tatizo ukiitwa huku hauji ulitaka tufanyaje eti??
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuja mimi jamanikwanisi ulikuwa na mimi kwa xmas? hiyo si inatosha zaidi ya vyote...!
ukuje basi sasa huku family room tufungue zawadi![]()



Tusio na vya kufungua ngoja tukazurure tu.View attachment 1303840

Tena wewe hata usiongee, nimekununia.Hata kufungua mlango na kwenda nje kuzurura kula bata pia ni kufungua
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tena wewe hata usiongee, nimekununia.
tatizo hujatoa ushirikiano. Hata number hujatoa
, nimechungulia inbox muda wote, kitu inbox zero mwanzo mwisho.Acha kunisingizia jamanitatizo hujatoa ushirikiano. Hata number hujatoa
, nimechungulia inbox muda wote, kitu inbox zero mwanzo mwisho.
Sent from my iPhone using JamiiForums




HahahaHata kufungua mlango na kwenda nje kuzurura kula bata pia ni kufungua
Sent from my iPhone using JamiiForums
Badala ya kubembeleza weye wanuna...Tena wewe hata usiongee, nimekununia.



basi wewe utakuwa msabato jina,, wasabato wale walioshika mafundisho halisi ya kisabato hawanaga sikukuu yoyote ya kidini.. pasaka ndiyo kabisa hawataki hata kuisikia
Kwani wao hawana sikukuu, mbona mimi ninayo na nimekula nyama na mvinyo![]()
You have my thoughts and prayer rafiki...you shall overcome.Amen Anne, thank you much
Wewe mnununo umeongezeka.Badala ya kubembeleza weye wanuna...
Mkwe nakusalimu
Shikamoo kaka Eli.Kwani wao hawana sikukuu, mbona mimi ninayo na nimekula nyama na mvinyo![]()
Shee na wewe nimekununia.
Mkwe ujue sisi hatujapatana barabarani...Wewe mnununo umeongezeka.