Selfika na JF: Snap it. Show it

Ikawaje sasa, mkuu? Maana kwa yanayoendelea ulimwenguni sasa, sidhani kama bado anaupenda. Global warming, wasiojulikana, magonjwa ya ajabu, njaa, n.k.
Aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe wa pekee,ili kila amuaminiye asipotee Bali awe na uzima wa milele.

Majanga mengi na matatizo Ni matokeo ya kutokutii kwa mwanadamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…