Hahahaha sasa hapo unakuta umebanwa mambo yote yako mlangoni hadi unashindwa kutembea miguu imeweka alama ya x,, unaendaje mapokezi ndiyo kimbembe sasa..
Yaani hapo ni hadi atokee anayejua hayo au msamaria mwema akubali kuulizia mapokezi na kukurudishia taarifa ndiyo pona yako,, vinginevyo tutazungumza habari nyingine..
Sent using
Jamii Forums mobile app