Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,363
- 176,188
Haya ndio maneno sasaNipe Adress niangalie nifanye mpango!
Sent from my iPhone using JamiiForums



Haya ndio maneno sasaNipe Adress niangalie nifanye mpango!
Sent from my iPhone using JamiiForums



Nyie wa chipsi mayai hamuwezi hayo mambo



imebidi nikukazie tu mkuu sababu unachotaka mimi niinjoi unajua kabisa siwezi kuinjoi
Hahaha Karma una maswali magumu yenye majibu mepesi hahaha,
Okey.Chips mayai wapi mama sie wenyewe nguna tunapiga sana ila nimeshangaa huo msosi sababu kwanza kabisa mie sipendi samaki wasio na magamba,, pili mie siyo mpenzi wa mlenda na wala sijawahi kuula maishani mwangu,, tatu siwezi changanya dona na muhogo heri nikule kimoja nijue moja,, nne ngoja niweke kapuni..
Though najua hivyo vitu ni vitamu ila mie tu ndiyo sijaamua kuvijaribu
Sent using Jamii Forums mobile app
Set fire to the RainView attachment 1302328
Haya ndio maneno sasa![]()
haya Fanya mambo , na Tarakimu kabisa Kama zote 




khaa sasa mfano majibu ya kushushua kama yako si naweza nikajikuta naharibiwa siku yangu hivi hivi,, nisiwe muongo mie mwenyewe comments nyingi tu huwa nalike bila kusoma..
Lazima nione, kunitukana hakuniharibii siku. Ila majoka![]()
Hahahaha mpaka hapo nishajua mapigo yako sasa....
Shakutumia.haya Fanta mambo , na Tarakimu kabisa Kama zote
Sent from my iPhone using JamiiForums



Pesa ya mauzo ya tiles rudisha bank ikazungusheMkuu hatari sana mimi nimeshamaliza ambaye hajapata mpaka next year, hapa nnaenda kutafuta kwa ajili ya yatima na wajane...Neno katika bible limeniambia dini ya kweli ni kujali yatima na wajane, hilo tuu nimebakisha kisha nafunga siku yangu mpaka tarehe 26 tenaView attachment 1302338
Khaaah!! Unanisingizia jamani.khaa sasa mfano majibu ya kushushua kama yako si naweza nikajikuta naharibiwa siku yangu hivi hivi,, nisiwe muongo mie mwenyewe comments nyingi tu huwa nalike bila kusoma..
Sent using Jamii Forums mobile app
Unyanyapaa mchana kweupeee mangi.Mkuu hatari sana mimi nimeshamaliza ambaye hajapata mpaka next year, hapa nnaenda kutafuta kwa ajili ya yatima na wajane...Neno katika bible limeniambia dini ya kweli ni kujali yatima na wajane, hilo tuu nimebakisha kisha nafunga siku yangu mpaka tarehe 26 tenaView attachment 1302338
Shakutumia.
Ila hili jina badili jamani, unanichumisha dhambi za bure mimi![]()






, Linakufaaa sana Kama linakufanya uchume dhambi, Ukijitahidi kutochuma utakua the Strongest 
.And i threw us in to the flamesSet fire to the RainView attachment 1302328
Khaaaaah!!! Lina maana gani?, Linakufaaa sana Kama linakufanya uchume dhambi, Ukijitahidi kutochuma utakua the Strongest
.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ndio.
I will fimd you nikiwa sijapata ratiba ya kunivuruga...