Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,283
- 108,298
Unakuwa kama unalamba colgate
Ndio leo meijaribu, sikujua hiyo mint ni pipi kifua
Ushamba mzigo mkwe.
Ndio leo meijaribu, sikujua hiyo mint ni pipi kifua
Ushamba mzigo mkwe.
Fahari ya macho mtu wangu, nataka na wewe uinjoiSasa mkuu si ndiyo hadi nione jamani au unataka niote tu??
Haha kwahiyo mkuu unataka na mie nifaidi hizo neema za nchi siyo??
Sent using Jamii Forums mobile app



kama naviona namna vinavyokorogana huko tumboni
Hao wakavu waungwe vizuri na mchuzi mzitoo wa nazi, na kamlenda na kaugali ka dona kalikochanganywa na muhogo![]()



hapa ndipo tunapowakamata watu wanaolike tukidhani wameona au wamesoma walicholike kumbe walikuwa wanazitembeza tu
Mbona uliiona maana niliona like yako![]()
Hahah... Karma nasubiri mualiko wa mwaka mpya



yote hayo ni katika kutafuta kujitofautisha na wengine,, by the way mie ni mpenzi wa ivori chocs zaidi kuliko hizo zingine..
Mint inafanya flavor ya choc ipotee...hapo ni kama unakula toothpaste na mkate
Khaaaah!! Unalike vipi kitu hujaona au hujasoma!!! Kama tusi?hapa ndipo tunapowakamata watu wanaolike tukidhani wameona au wamesoma walicholike kumbe walikuwa wanazitembeza tu
Sent using Jamii Forums mobile app





World Tea Collection, Christmas Gift kutoka kwa rafiki, ntaifungua 26th View attachment 1302287
Na hivi vingine sijui ni nini View attachment 1302297



niinjoi nini bro
Fahari ya macho mtu wangu, nataka na wewe uinjoi
Acha tu, yaani imekuwa kitu cha ajabuu!!Unakuwa kama unalamba colgate
Oooh!!Ni samaki kwenye karanga. Chakula maarufu kwa waganda.
Nani unadhani anaathirika na kitambi changu?






Mnagawiana wenyewe tuMwaka huu zawadi nyingi sana, Sisi bado tunagawa.
View attachment 1302319
Sent from my iPhone using JamiiForums





kwahiyo wewe kama umetukanwa unataka uone,, kwanza kutokuona si ndiyo vizuri unaepuka mambo mengi maana unaweza jipata umeharibiwa siku yako hivi hivi..
Khaaaah!! Unalike vipi kitu hujaona au hujasoma!!! Kama tusi?
Lazima nione, kunitukana hakuniharibii siku. Ila majokakwahiyo wewe kama umetukanwa unataka uone,, kwanza kutokuona si ndiyo vizuri unaepuka mambo mengi maana unaweza jipata umeharibiwa siku yako hivi hivi..
Sent using Jamii Forums mobile app

Mnagawiana wenyewe tu![]()