Are you John or Shabani?![]()
non of the aboveHao wakavu waungwe vizuri na mchuzi mzitoo wa nazi, na kamlenda na kaugali ka dona kalikochanganywa na muhogo![]()
Mboga ya karanga kivipi?Hawa kwetu tunachanganya na mboga ya karanga.
Mboga ya karanga kivipi?
Wow!! Umejuajeeee, naihitaji balaa!!
Mbona uliiona maana niliona like yako![]()

Oooh!! Hiyo inatumika badala ya nazi right?Kama uji, ila wa karanga sasa.
Khaaa!!Sijaona
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wow!! Umejuajeeee, naihitaji balaa!!
Oooh!! Hiyo inatumika badala ya nazi right?
Nipo mlangoni PM naomba niruhusu niingia...View attachment 1302210leo baridi limetustahi
Acha tu. Nimesemwa sana na kitambi changu, imebidi nijizawadie.




Sijawahi kujaribu karanga kwenye samaki lol!!Na nazi unaweka ukitaka. Yaani unasaga karanga, unaweka baada ya kukaanga vitunguu na mazagazaga kama hayo.
Nani kakusema?
Sijawahi kujaribu karanga kwenye samaki lol!!