Ni kwamba unakula kiporo au macho yangu
Hamujambo humu ndani?
Usiku mwema.
Na wewe mkwe ushaanza kufichwa kama Karma





Daaah!! Si ni jana tu jamani

Shee tunatakiwa kulala mapema ili tuamke mapema, kwa afya.



sembuse masaa 20 yote hayo??
Daaah!! Si ni jana tu jamani![]()
Jana tu?? We unaona masaa 20 ni madogo?? Unajua kabisa we ukipotea hata masaa 2 tu mi naumwasembuse masaa 20 yote hayo??
Sent using Jamii Forums mobile app




Oooh!! Hawa orijinale. Wale wengine nitakutana nao January shule zikifunguliwa.
Hapana mama, tulifanya ibada kisha tukatembelea wagonjwa.



ulianza wewe eti,, mimi jana nilikuwepo humu..
We mwenyewe ulipotea, ndio maana nami nikapotea.
Oooh!! Hawa orijinale. Wale wengine nitakutana nao January shule zikifunguliwa.



Hapana mama, tulifanya ibada kisha tukatembelea wagonjwa.