Wakuu mwenye mawasiliano ya National geographic View attachment 1297196
Sent using Jamii Forums mobile app




navidanlodi kwa matumizi 


Jioni njema View attachment 1297322

Mkuu wewe ndiye huyo uliejimwambafy hapo pembeni?



hiyo ya tatu ni kama nimeimanya hivi,, niitoe huko kapuni??
Kaka baada ya kutoka chuo nadhani nilimaliza na shahada tatu,
Moja ni ile ya chuo, ya pili uchef na ya tatu naiweka kapuni...
Nina ugonjwa na vidole virefu vya kike uuuuuwiiiiiinavidanlodi kwa matumizi
Jr![]()


Mshana bwanaIweke tu kapuni bro. Maisha haya, kuna mmoja alikuwa mfadhili wangu juzi kanitafuta nimtoe laki. Nkakumbuka alivyonifadhili, bila hiyana nkafanya muamala mkuu.Kaka baada ya kutoka chuo nadhani nilimaliza na shahada tatu,
Moja ni ile ya chuo, ya pili uchef na ya tatu naiweka kapuni...
Kulikoni?Taratibuni jamani.
Doh!
Nakutakia jioni njema
Kaka baada ya kutoka chuo nadhani nilimaliza na shahada tatu,
Moja ni ile ya chuo, ya pili uchef na ya tatu naiweka kapuni...