Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,470 Dec 17, 2019 #44,161 Hawachi said: Alikuwa ana kucha zake mbili hizo yaani zinachana kama wembe kwenye mapaja umenikumbusha mbali dear Click to expand... halafu anakufinya huku anatabasamu kabisaa!!
Hawachi said: Alikuwa ana kucha zake mbili hizo yaani zinachana kama wembe kwenye mapaja umenikumbusha mbali dear Click to expand... halafu anakufinya huku anatabasamu kabisaa!!
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,470 Dec 17, 2019 #44,162 blackcornshman said: Nakazia kapelekwe milembe. Click to expand... Kabisaa jamani
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Dec 17, 2019 #44,163 kweli kabisa mkuu,, sasa jamaa leo ndiyo kasonga kitu inafanana na zile 'dawa' ambazo huwa unapost.. blackcornshman said: Hahahaaha aisee sijawahi kupost bangi napostigi dawa iliyothibitishwa viwango na madaktari konki. Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
kweli kabisa mkuu,, sasa jamaa leo ndiyo kasonga kitu inafanana na zile 'dawa' ambazo huwa unapost.. blackcornshman said: Hahahaaha aisee sijawahi kupost bangi napostigi dawa iliyothibitishwa viwango na madaktari konki. Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Dec 17, 2019 #44,164 Haha endiwooo Sakayo said: Kumbe ni ugali eeehh Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Haha endiwooo Sakayo said: Kumbe ni ugali eeehh Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Dec 17, 2019 #44,165 mie mchuchu kabisa Malcom Lumumba said: Au nimekosea kwamba wewe siyo mchuchu ??? Usije ukawa linjemba moja hivi. Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
mie mchuchu kabisa Malcom Lumumba said: Au nimekosea kwamba wewe siyo mchuchu ??? Usije ukawa linjemba moja hivi. Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,470 Dec 17, 2019 #44,166 Karma said: Haha endiwooo Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Sakayo kuwa uyaone!
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Dec 17, 2019 #44,167 yaani naelewa kabisa mimi,, siyo wako tu hata wetu.. Sakayo said: Mamangu alikuwa kiboko!!! Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
yaani naelewa kabisa mimi,, siyo wako tu hata wetu.. Sakayo said: Mamangu alikuwa kiboko!!! Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,470 Dec 17, 2019 #44,168 Karma said: yaani naelewa kabisa mimi,, siyo wako tu hata wetu.. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Wenu mpole mpaka mnapiga selfie?!
Karma said: yaani naelewa kabisa mimi,, siyo wako tu hata wetu.. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Wenu mpole mpaka mnapiga selfie?!
Hawachi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2018 Posts 12,010 Reaction score 54,201 Dec 17, 2019 #44,169 Sakayo said: halafu anakufinya huku anatabasamu kabisaa!! Click to expand... Aisee mama alikuwa mkali kiasi rafiki zangu walikuwa wanavizia kuja nyumbani akiwepo hawatokei
Sakayo said: halafu anakufinya huku anatabasamu kabisaa!! Click to expand... Aisee mama alikuwa mkali kiasi rafiki zangu walikuwa wanavizia kuja nyumbani akiwepo hawatokei
Hawachi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2018 Posts 12,010 Reaction score 54,201 Dec 17, 2019 #44,170 Sakayo said: Wenu mpole mpaka mnapiga selfie?! Click to expand... Kwa kweli πππ
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Dec 17, 2019 #44,171 Aahh Sakayo umenivunja mbavu,, yaani hadi nimejikuta najaribu kujifinya huku natabasamu nimeishia kucheka kama kichaa.. Sakayo said: halafu anakufinya huku anatabasamu kabisaa!! Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Aahh Sakayo umenivunja mbavu,, yaani hadi nimejikuta najaribu kujifinya huku natabasamu nimeishia kucheka kama kichaa.. Sakayo said: halafu anakufinya huku anatabasamu kabisaa!! Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,470 Dec 17, 2019 #44,172 Hawachi said: Aisee mama alikuwa mkali kiasi rafiki zangu walikuwa wanavizia kuja nyumbani akiwepo hawatokei Click to expand... Huyo ni mamangu kabisaa jamani!!
Hawachi said: Aisee mama alikuwa mkali kiasi rafiki zangu walikuwa wanavizia kuja nyumbani akiwepo hawatokei Click to expand... Huyo ni mamangu kabisaa jamani!!
MALCOM LUMUMBA JF-Expert Member Joined Jul 26, 2012 Posts 21,456 Reaction score 69,361 Dec 17, 2019 #44,173 Jael said: Sijambo, shikamoo! Click to expand... Marhabaaaa mdogo wangu mzuri. Habari za Christmas...!!!! Ushaanza kusherekea ???
Jael said: Sijambo, shikamoo! Click to expand... Marhabaaaa mdogo wangu mzuri. Habari za Christmas...!!!! Ushaanza kusherekea ???
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,470 Dec 17, 2019 #44,174 Hawachi said: Kwa kweli Click to expand... Hajawahi ona mama mkali jamani!! Yaani akikuita mara moja kabla hujaitika ushafika alipo!
Hawachi said: Kwa kweli Click to expand... Hajawahi ona mama mkali jamani!! Yaani akikuita mara moja kabla hujaitika ushafika alipo!
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,470 Dec 17, 2019 #44,175 Karma said: Aahh Sakayo umenivunja mbavu,, yaani hadi nimejikuta najaribu kujifinya huku natabasamu nimeishia kucheka kama kichaa.. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Halafu hapo mimi ni last born, jaribu kuwaza maisha ya hao wakubwa dear!!
Karma said: Aahh Sakayo umenivunja mbavu,, yaani hadi nimejikuta najaribu kujifinya huku natabasamu nimeishia kucheka kama kichaa.. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Halafu hapo mimi ni last born, jaribu kuwaza maisha ya hao wakubwa dear!!
Hawachi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2018 Posts 12,010 Reaction score 54,201 Dec 17, 2019 #44,176 Sakayo said: Huyo ni mamangu kabisaa jamani!! Click to expand... ππππ
MALCOM LUMUMBA JF-Expert Member Joined Jul 26, 2012 Posts 21,456 Reaction score 69,361 Dec 17, 2019 #44,177 Karma said: mie mchuchu kabisa Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hahaha, nasikia JF wanawake mko 200 tu wengine wote ni manjemba yanajifanya totoz. Humu ndani bwana!!!!
Karma said: mie mchuchu kabisa Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hahaha, nasikia JF wanawake mko 200 tu wengine wote ni manjemba yanajifanya totoz. Humu ndani bwana!!!!
Hawachi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2018 Posts 12,010 Reaction score 54,201 Dec 17, 2019 #44,178 Sakayo said: Hajawahi ona mama mkali jamani!! Yaani akikuita mara moja kabla hujaitika ushafika alipo! Click to expand... Inatokea baba mpole ila mama mkali.
Sakayo said: Hajawahi ona mama mkali jamani!! Yaani akikuita mara moja kabla hujaitika ushafika alipo! Click to expand... Inatokea baba mpole ila mama mkali.
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,470 Dec 17, 2019 #44,179 Hawachi said: Click to expand... Mashost zangu walikuwa wakija mama hayupo nyumbani, sasa arudi bahati mbaya awakute!! Sijawahi elewa walikuwa wanatoa wapi zile mbio
Hawachi said: Click to expand... Mashost zangu walikuwa wakija mama hayupo nyumbani, sasa arudi bahati mbaya awakute!! Sijawahi elewa walikuwa wanatoa wapi zile mbio
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,470 Dec 17, 2019 #44,180 Hawachi said: Inatokea baba mpole ila mama mkali. Click to expand... Babangu daaahh!!