Selfika na JF: Snap it. Show it

Inawezekana mkuu huyu jamaa alikuwa yeye ndio anafanya kaz za kuwaandikia walim ubaon..mara kujaza form zao ma manz walikuwa wanampenda saqn.
Hahahah...yaani mwandiko tu ndio upate mchuchu? au jamaa alikuwa na mbwembwe za ziada kuchora makopa yenye kuchomwa na mikuki/mishale...

By the way hata huwa sina mwandiko mmoja...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…