Mazoez huongeza ufanisi..katika fani hii ya uchoraji..pia kuchora kunahitaji commitment na muda..Mana picha moja inaweza ikachorwa hata kwa siku tatu...mim hii naifananisha na mazoezi ya gym...
Mazoez huongeza ufanisi..katika fani hii ya uchoraji..pia kuchora kunahitaji commitment na muda..Mana picha moja inaweza ikachorwa hata kwa siku tatu...mim hii naifananisha na mazoezi ya gym...
Nilipokua primary ndio nilikua nafanya sana hii.. ila now ata sikumbuki mara ya mwisho ni lini. Nataka nijikite tu kwenye vipaji vingine ambavyo nahisi ninanvyo.. Uandishi na utunzi wa nyimbo..