Euroleague, La Liga, Copa, popote ilipo Real Madrid kwa namna yeyote nipo. Hata NBA sasa naifuatilia sana kwa sababu kuna Real Madrid mule.
Kipindi wanaondoka hao jamaa, mlikuwa na system na andunje ndio alikuwa amekuja. Sasa hivi mnajikokota kwa uwezo wa kale kajamaa tu, so mtapata shida sana kakichoka.