Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,488
- 203,175
Ona aibu basi 😂😂😂 kile kivideo nilichokutumia nani yule?! Ile FF uliiona wapi kama sio status unataka nini tena dada?nikupe ngapi?? Halafu wewe hadi leo haujanipa picha yako hata moja sema ni vile tu sina papara mtoto wa watu nikasema siwezi kukulazimisha utanipa siku ukijisikia!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakusendia nyingine ndani ya 30mnts na we jiandae




