Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

nikupe ngapi?? Halafu wewe hadi leo haujanipa picha yako hata moja sema ni vile tu sina papara mtoto wa watu nikasema siwezi kukulazimisha utanipa siku ukijisikia!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ona aibu basi 😂😂😂 kile kivideo nilichokutumia nani yule?! Ile FF uliiona wapi kama sio status unataka nini tena dada?
Nakusendia nyingine ndani ya 30mnts na we jiandae
 
Sasa hapo nani wa kuona aibu?? Kabisa unajitapa kuwa umetuma video,, tuma picha hebu tena full kabisa.. lol ni ombi lakini siyo amri!!
Ona aibu basi kile kivideo nilichokutumia nani yule?! Ile FF uliiona wapi kama sio status unataka nini tena dada?
Nakusendia nyingine ndani ya 30mnts na we jiandae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
Screenshot_20191215-172022~2.jpeg
 
Back
Top Bottom