Selfika na JF: Snap it. Show it

Wanachapana sana misipa humu ila ni kwa wale ambao wanawasiliana nje na hapa kuanzia PM uko
Watu wana knowledge ya scarcity kuona ni abundant πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwamba?? Ni wee ndio huna bahati, wenzio wanaoneshwa zivu zivu, laivuuu.
Kumbe huko PM sio JF tena ni TINDER DATING APP πŸ˜…
 
Mambo yote waziii kama ya mbuzi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sijui wao wanao waamini wanaume wa JF tena wanao fly humu.

Wengi wao wapo kuwachora wanawake tu, wanawatumia then wanamwaga ubuyu na evidence kwa wambea.

Ila huyu member sikutegemea, ni kilaza kiasi hiki, anaonekana yuko intellectual and brilliant, kumbe daah.
Nachoka mie,
 
Mwaga kuku kwenye mchele mwingi basi tupate kupona !
 
Mipira yake ilikuwa Audi, Rangers na BMWs. Na uwanja wake wa vita ulikuwa Morena Hotel Msamvu Moro.
Unamsemea Babu miga? Yule hela anazo, na migodi kweli ipo, afu sio mchoyo ni mtoaji, sema ana tabia mbaya sana ya udhalilishaji, hasa akikukuta limbukeni na kichwani empty.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…