Sababu yahuu uzi. Zitapigwa pin zitafutwa nyuzi kibaooo na hazifunguliwi wala kurudishwa ila selfika hata ipigweje pin lazima ifunguliwe. Ishafutwa nakufungwa several times badae uzi unarudishwa who are you?Kwanini😀
Au gauni limepepea na upepo?maaana sio kweli kama hicho chote ni kitambi bingwa wetu wa selfika
Sawa😌Mm sio de malefwe tupia tu hata usiniogope
Katika nyuzi ambazo zimepitia vipindi vingi vigumu Selfika inaongoza 😀 haina mpinzani🙌🏿Sababu yahuu uzi. Zitapigwa pin zitafutwa nyuzi kibaooo na hazifunguliwi wala kurudishwa ila selfika hata ipigweje pin lazima ifunguliwe. Ishafutwa nakufungwa several times badae uzi unarudishwa who are you?
Beach🙂Nikucrochetie uende nako wapi mrembo wangu😍🥰
Awaap hata kama nakujua kwa kutumia hisia tu ila huyu sio weweSawa😌
TUpia tena basi 😎 au ije hata pm kwangu 😎Acha zako basi vinnie
Kwahiyo mkuu unataka kusemaje? Kwamba sisi dwarfs hatustahili kutumia jf?Awaap hata kama nakujua kwa kutumia hisia tu ila huyu sio wewe
Haka kadada nakajua...kale kafupi kanakatikaga..🤣🤣🤣Sawa😌
Leo umepita pandeiii karibu sana nafurahi kukuona tena.Au gauni limepepea na upepo?maaana sio kweli kama hicho chote ni kitambi bingwa wetu wa selfika
Umezingua sana Enzo😃TUpia tena basi 😎 au ije hata pm kwangu 😎
Ndio kamimi sasa😆Haka kadada nakajua...kale kafupi kanakatikaga..🤣🤣🤣
Hapo sawa...Leo umepita pandeiii karibu sana nafurahi kukuona tena.
Hapo nilikua nimekaa kwenye kitu kichwa kimeegemea nyuma ya kiti automatic lazima tumbo lisogee nakujitokeza mbele ndomana.
Kizuri pia uanze kutengeneza bikini na bana nyonyo uuzie mabinti😍
😂😂😂ila.mimi mvivu kufuma balaaaaa mpaka nijibembelezeKizuri pia uanze kutengeneza bikini na bana nyonyo uuzie mabinti😍
Huu uzi sikuhizi ni hivohivo tu umegeuka uwanja wa vita mapanga shaa majungu majungu hadi haupendezi kivile!Hapo sawa...
Nimekuja kuwasabahi....naona uzi haujawahi kuchuja huu...
Bora umenisaidia mkuu atupie yake tummanyeHaka kadada nakajua...kale kafupi kanakatikaga..🤣🤣🤣