Makubwa!Huwa naiona humu Jf na huwa kuna mda ina laiki na kulaikiana
Dagaa ukiwala nasikia wanafufuka tumboni wanaanza vita ni kweli au hekaya tu waswahili ?Makubwa!
Haya karibu tupike dagaa!
Kwa nyie watoto wa kishua ni kweli kabisaDagaa ukiwala nasikia wanafufuka tumboni wanaanza vita ni kweli au hekaya tu waswahili ?
π«©π«© Haya mkuu asante wakiwa wengi tukaribishaneKwa nyue watoto wa kishua ni kweli kabisa
Ila sie tulozaliwa ukanda wake zimetulea.. wala hazina miujiza!
Mawino mengi sana madamπ
Uzee mwanangu!!Mawino mengi sana madamπ
Kila mtu utamfikia tu! Be free mremboπUzee mwanangu!!
Shida Sura imegoma kabisa kueditika hata niedit vipi!Kila mtu utamfikia tu! Be free mremboπ
Unajibandika mafilter kama yoteπShida Sura imegoma kabisa kueditika hata niedit vipi!
Filter yenyewe imegoma kabisa!! Noma sanaUnajibandika mafilter kama yoteπ
πΉπΉπΉπΉ Si nikapitiwa na usingizi..!!πππ singo mamz kazi kwao kukiweka kwa maprosoo was JF Na baadae wana mwaga na kuwanyali juu.
Safariii hii lami watatambalia ulimii alooooh
Watu weweeeeeee!!! πππππ
Jamani chuma gani tena hiki? π»
πππ udugu una nini lakinii? Mbona uko nginja nginja sanaa??πΉπΉπΉπΉ Si nikapitiwa na usingizi..!!
Umbea huu sijui walinipiga kipaipai πΉ
Single maza kanichekesha, hafu kumbe kila toto na baba ake..!! πΉ
Ndiomana limewehuka linajichetua kama vuta bangi..!
Sasa bana nasikia kapinduliwa na udugu wake lina makasiriko, penzi liko lebu lebu na analitolea Siri zake zote mpaka kuuza papa telegram πΉπΉπΉ
Udugu kumbe watu wana stress za child support πΉπΉπΉπππ udugu una nini lakinii? Mbona uko nginja nginja sanaa??
Sitii neno, πππUdugu kumbe watu wana stress za child support πΉπΉπΉ
Nilitaka kushangaa kwa li mwili lile ka fuko la mawe linakosaje kuwa single mazaz πΉπΉ
Ya mwisho πππJamani chuma gani tena hiki? π»
Em selfika full basi hatukukabi kaka mzuri..!! πΉπΉ
Mamaa! mamaa! π»
Em njoo kabla sijapitiwa na usingizi πΉπΉSitii neno, πππ
Tukutanee baadae.