Selfika na JF: Snap it. Show it

😁😁😁
Noma sana, ulo sahihi
Ukweli ni kwamba ngono inazeesha/inachosha hasa imiwa unalala na watu wengi tofauti...sex ni transaction ya energy na mambo mengine ss u can imagine ....
Plus life lilivyo tight unakuta mtu kwa umri huo anakua amechoka tofauti na umri ....
Mungu ametusaidia kwakweli I think pia kua na Uhusiano na mtu 1 kwa muda mrefu inasaidia sn kuto ruka ruka....
Lkn pia kuna muda ku-abstain jmn unakaa zako ht 2,3, 4yrs fresh tu yaani mwili unakaa vzr sn
 
2,3,3 4years! Kwa kizazi hiki!!
Watu wanawaza ngono 24/hrs.
 
Mimi sasa naamkiwa hadi sio poaa sijui hizi mvi zizoanza kuota mapema au ndo nimechoka hadi naonekana lohl!!
 
Hahaha! Michambo yakiingereza ipo na ya kiswazi ipo!! anyway watu hua hawataki utilie kabisa.
Hapo nitakua sio wa kawaida sasa!!! Kipindi kile na saii tena mieemiee khakhaa!!

Afu Niliacha hekaheka kitambo mnywani umri ushakimbia!
 
Mimi sasa nanamkiwa hadi sio poaa sijui hizi mvi zizoanza kuota mapema au ndo nimechoka mwili lohl!!
Kuna mda najiangalia mpaka kwenye kioo!! Najiona bado ila Gen z na hasa wa kike!! Ni shikamoo shikamoo na Mimi natikisaga kichwa!! Naona kabisa madogo wanaweka mipaka mapema!
 
Hapo nitakua sio wa kawaida sasa!!! Kipindi kile na saii tena mieemiee khakhaa!!

Afu Niliacha hekaheka kitambo mnywani umri ushakimbia!
Kama ombi la Seran linataka jibiwa!! Si ajawahi ona.

Hahaha nachokupendea ni jino kwa jino! Kuna vitu sio vya kumuachia sir God unamalizana navyo we mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…