Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,458
- 183,567
Hebu tuone uvofutuka kwanza niangalie namna ya kukusaidia!!Napunguza kula aisee ntapasuka🙆🏽♀️
Hebu tuone uvofutuka kwanza niangalie namna ya kukusaidia!!Napunguza kula aisee ntapasuka🙆🏽♀️
Utanihurumia🥲Hebu tuone uvofutuka kwanza niangalie namna ya kukusaidia!!
Hebu tuone mie juzikati nilifutuka hadi kutembea ikawa shida nilikua nkitembea kidogo ti nahema nasweat balaaaUtanihurumia🥲
Kweli hunipendi😩Hebu tuone
Mrembo 🤗Kweli hunipendi😩
Sawa angalia nipo kama chokoraa hapo ufurahi🥺
Mimi hata siwezi kufanya hilo jaribio la kijasusi😂Hebu tuone mie juzikati nilifutuka hadi kutembea ikawa shida nilikua nkitembea kidogo ti nahema nasweat balaaa
Baba usipitwee!Mrembo 🤗
🤗🤗🤗Baba usipitwee!
Haya acha kutrendisha uzi naomba upite kimya kimya😎
Pita min usiniudhi🫴🏾🙄
Huwezi amini sijaona hata doh!! Rudia tena saivi sitokiKweli hunipendi😩
Sawa angalia nipo kama chokoraa hapo ufurahi🥺
Uwee nyomi zimeongezeka😂Huwezi amini sijaona hata doh!! Rudia tena saivi sitoki
Umeanza lini woga lamama unaniangusha ujuee!!Uwee nyomi zimeongezeka😂
Tulia. Usitoke 👍🏽Hustler one bado Nasubiria katibuu
Samalekooo
Here waiting katibuuuuuTulia. Usitoke 👍🏽
Unene mahii😂Umeanza lini woga lamama unaniangusha ujuee!!
Who cares???? Jiachiee zako buanaa
Hapana bana mbona zile zakipindi kile hukuwa bonge hata hebu rudia kwanza nione.. mi nashukuru nimefanikiwa kupungua kitrambi nilikua na mtrumbo huoooo nilikokua naelekea Hapana asee! Nilikua nachambwajeeUnene mahii😂
Aisee, mwenyewe sielewi imekuwaje miezi miwili tu nimekuwa hivi🥲Hapana bana mbona zile zakipindi kile hukuwa bonge hata hebu rudia kwanza nione.. mi nashukuru nimefanikiwa kupungua kitrambi nilikua na mtrumbo huoooo nilikokua naelekea Hapana asee! Nilikua nachambwajee
Akili imeseto lamama uliposhikilia hapohapoo usiachieeAisee, mwenyewe sielewi imekuwaje miezi miwili tu nimekuwa hivi🥲
Huoni nilivyokuwa hapo? Hapana jamani😫Akili imeseto lamama uliposhikilia hapohapoo usiachiee